Miongonimwawazalishajiwakubwawa ASALI KUTOKA TANZANIA naMuuzajiwajumlawa Asali kwenyemasokoyakimataifaMr.Musiba Paul Kitemaambae pia nimkurugenziwakampuniya JAMBO ASALI,ameishukuruserikalikwakuwafunguliamilangoyabiasharakwenyesektayaufugajiwaNyukinchini, P.K.Musibanimmojawawafanyabiasharawaasaliambaowanaendeleakuitangazaasaliya Tanzania katikamasokoyakimataifa. Ata hivyo Asali ya Tanzania imeendeleakuwaasali bora zaidikulikoasalikutokanchinyinginekutokananaupekeewaasalihiyo.
Watejawengikatikamasokoyakimataifawamevutiwanauborawaasaliya Tanzania kutokananasababumbalimbalikama vile;
- Ufugajiwanyukikatikamisituyaasiliambayoimehifadhiwa
- Usafiwaasaliya Tanzania
- Utamuwaasaliya Tanzania wenyeradhayaasilinasababunyinginenyingi
Serikaliya Tanzania pia imeendeleakusainimikatabayakuingizaasalikatikanchimbalimbaliikiwemo Uchina ambapo kuna sokokubwa la asalikutoka Tanzania. Watanzaniawanashariwa pia kuchangamkiafursa za uzalishajiwaasalikwakufuganyukikwawingikatikamaeneombalimbaliambayoni rafiki kwaufugajiwanyuki. Masokoyaasaliyaponanimasokomakubwa .

Uzalishajiwaasalinchini Tanzania badohauwezikukidhimahitajiyasoko, Pamoja najitihada za serikali, sektabinafsizinashauriwa pia kuongezauwekezajikatikaufugajiwanyukikwaninieneosalama la uwekezajikutokananaongezekokubwa la mahitajiya ASALI YA TANZANIA kwenyemasokoyakimataifa.
Haya yamesemwanaMkurugenziwa JAMBO ASALI Mr.Musiba Paul Kitemaakiongeanawaandishiwa Habari Mkoani Dodoma.
